Chapati za Nyama ya Kusaga


Mahitaji/ Ingedients


  1. Nyama ya kusaga ¼
  2. Unga wa ngano ½
  3. Mayai 2
  4. Maziwa ya unga vijiko vinne
  5. Chumvi
  6. Sukari
  7. Mafuta ya kula
  8. Dania/ girigiriani
  9. Curry powder
  10. Kitunguu maji
  11. Carrot
  12. Hoho
  13. Pilipili manga
  14. Nyanya ya madonge
  15. Tomato paste
  16. Chumvi
  17. Royco
  18. Garam masala
  19. Manjano


Jinsi ya kupika/ How to cook


  • Tunaanza na kukanda unga wetu
  • Weka unga wako kwenye sufuria au kibeseni kidogo 
  • Kisha tia chumvi kiasi chako na sukari kidogo kwaajili ya ladha (changanya vizur)
  • weka vijiko 4 vya maziwa ya unga (sio lazima) ila mimi napendelea kwaajili ya kuleta ladha (changanya vizuri)
  • weka mayai mawili alaf uchanganye mchanganyiko wako
  • Weka mafuta ya kula vijiko viwili uendelee kuchanganya
  • Tia maji kiasi kwaajili ya kuchanganyia mchanganyiko wako.
  • unga usiwe mlaini sana au mgumu sana maana chapati ni za kurasa

Comments

  1. Nimependa sana unaelekeza vizuri sana..ahsante

    ReplyDelete
  2. Nimependa sana unaelekeza vizuri sana..ahsante

    ReplyDelete

Post a Comment